MKOANI TUNATUMA

 MTEJA WA MKOANI

Kwa wateja wa mikoani na nje ya nchi tunawatumia

Mikoani tunakutumia kwa bus au kwa malori ya mizigo na unalipia ndio mzigo unafungwa unatupa jina na namba ya simu tunaweka juu ya mzigo na tunakukutumia picha za mzigo ni ili ujue box ngapi na picha za risiti za transporter husika na mizigo ukifika mteja utajulishwa au utawapigia kujua mzigo umefikia wapi..

Na gharama za usafiri ni juu ya mteja. Au unaweza kumuagiza mtu ambaye yupo dar unaemfahamu atakuja kukuchukulia kwa niaba yako. Au unaweza kufika mwenye moja kwa moja ofisini kwetu..


KARIBU #TUKUSHAURI NA #KUKUELIMISHA KABLA YA KUNUNUA


KWA ODA NA MAELEKEZO ZAIDI


TUPO #KARIAKOO DAR


thegreatsolar.blogspot.com


thegreatsolar@gmail.com


📞+255 684 943 062

☎️+255 712 082 915


KARIBU SANA 


#wasafimedia #wcb #diamondplatnumz #wasafitv #wasafifestival #alikiba #millardayoupdates #wasafifm #wemasepetu #harmonize #kondegang #zarithebosslady #rayvanny #wcbwasafi #millardayo #zuchu #kondeboy #idrissultan #trends #yangasc #kingkiba #cloudsmedia #hamisamobetto #jokatemwegelo #simbasc #nandy #kariakoo #harmonize #daressalaam




Comments

Popular Posts